Pamoja Tunaweza Saccos (PT-SACCOS) ni
kikundi cha ushirika kilichosajiliwa kisheria kwa ajili ya utoaji wa huduma za
kifedha kwa wanachama wake kwa mtindo wa
kukopa na kuweka. PT-SACCOS inafanya shughuli zake katika eneo la Makumbusho
–DSM.
MAJUKUMU
YA NAFASI HUSIKA
Kuandaa fomu za
maombi ya mikopo
Kupokea
marejesho na michango ya wanachama
Kupeleka cheki
benki
Kuwa kiungo kati
ya PT-SACCOS na ofisi ya ushirika ya Wilaya/Mkoa
Kuandaa na
kutunza vitabu vya mahesabu.
Na kazi nyingine
utakazopangiwa na uongozi
NB: Uendeshaji wa shughuli za PTSACCOS
hazihitaji kukaa ofisini muda wote, utafanya pale utakapohitajika.
MAELEZO KWA MWOMBAJI:
SIFA ZA MWOMBAJI
Awe Mtanzania mwenye umri kuanzia 20-30
Awe na Elimu ya Uhasibu/Utunzaji wa vitabu vya fedha kwa ngazi ya cheti au stashahada na aliyefaulu vema masomo ya hisabati na kiingereza kwa kidato cha nne/sita.
Mweny elimu ya Ushirika kutoka Chuo kikuu cha Ushirika moshi atapewa kipaumbele
Awe mchapa kazi na mwenye kujituma na kujifuza kwa haraka.
Awe na uzoefu wa kuandaa taarifa za fedha katika taasisi za fedha au vyama vya ushirika
SIFA ZA MWOMBAJI
Awe Mtanzania mwenye umri kuanzia 20-30
Awe na Elimu ya Uhasibu/Utunzaji wa vitabu vya fedha kwa ngazi ya cheti au stashahada na aliyefaulu vema masomo ya hisabati na kiingereza kwa kidato cha nne/sita.
Mweny elimu ya Ushirika kutoka Chuo kikuu cha Ushirika moshi atapewa kipaumbele
Awe mchapa kazi na mwenye kujituma na kujifuza kwa haraka.
Awe na uzoefu wa kuandaa taarifa za fedha katika taasisi za fedha au vyama vya ushirika
Awe na ujuzi wa kutumia vizuri kompyuta
Mshahara ni maelewano
Maombi yote yaandikwe kwa mkono na yatumwe ikiwa ni pamoja na wasifu binafsi (CV) na vivuli vya vyeti ( Cheti cha kuzaliwa na Vyeti vya taaluma)
Yatumwe kwa:
Mwenyekiti,
PT SACCOS
DSM
Kupitia baua pepe ptsaccos2011@gmail.com
na/au dsbonde@yahoo.com
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 25 Sep
2016
NB: Wenye elimu zaidi ya ngazi ya stashahada wasiombe.